Ni wimbo mzuri imekuwa kawaida ya sisi wanadamu kuwasema wenzetu wanapopata matatizo au kuwacheka.La muhimu ni kuombeana,unapoona mwenzako ana shida kama unaweza kumsaidia msaidie au muombee.Kuwasema na kuwacheka wenye shida tunampa shetaninafasi na tunakosa baraka za Mungu.
1 comment:
Ni wimbo mzuri imekuwa kawaida ya sisi wanadamu kuwasema wenzetu wanapopata matatizo au kuwacheka.La muhimu ni kuombeana,unapoona mwenzako ana shida kama unaweza kumsaidia msaidie au muombee.Kuwasema na kuwacheka wenye shida tunampa shetaninafasi na tunakosa baraka za Mungu.
Post a Comment